Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Top 100 Quotes
Professions
Nationalities
Enemy Quotes
Popular Topics
Love Quotes
Life Quotes
Inspirational Quotes
Philosophy Quotes
Humor Quotes
Wisdom Quotes
God Quotes
Truth Quotes
Happiness Quotes
Hope Quotes
We are way less likely to love someone just because they love us than we are to hate someone just because they hate us.
Mokokoma Mokhonoana
Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.
Enock Maregesi
Related Topics
Wedding
Quotes
Hard Work
Quotes
Regret
Quotes
Animosity
Quotes
Make You Think
Quotes
Hell
Quotes
Aphorism
Quotes
Spirituality
Quotes