Quotes.cx
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Psalm 22 Quotes

    • Love Quotes
    • Life Quotes
    • Inspirational Quotes
    • Philosophy Quotes
    • Humor Quotes
    • Wisdom Quotes
    • God Quotes
    • Truth Quotes
    • Happiness Quotes
    • Hope Quotes
  • Follow us on Facebook
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on X
Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.
Enock Maregesi

Related Topics

Zaburi 22
Quotes
Yesu
Quotes
Golgotha
Quotes
Wimbo
Quotes
My God
Quotes
Cross
Quotes
Msalabani
Quotes
Ukristo
Quotes

Quotes.CX

  • About Us
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Terms
  • DMCA

Site Links

  • Authors
  • Topics
  • Quote Of The Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Authors in the News

  • Abhijit Naskar
  • Shannon L. Alder
  • Ernest Agyemang Yeboah
  • Craig D. Lounsbrough
  • Germany Kent
  • Mandy Hale
  • Deyth Banger
  • Ana Claudia Antunes
  • C. JoyBell C.
  • Munia Khan
Quotes.cx
  • Follow us on Facebook
  • Follow us on Instagram
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on Youtube
  • Follow us on X

@2024 Quotes.CX All rights reserved