Quotes.cx
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Peace Of God Quotes

    • Love Quotes
    • Life Quotes
    • Inspirational Quotes
    • Philosophy Quotes
    • Humor Quotes
    • Wisdom Quotes
    • God Quotes
    • Truth Quotes
    • Happiness Quotes
    • Hope Quotes
  • Follow us on Facebook
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on X
Kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa raha ni rahisi kuliko kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa shida, na utahitaji imani kuendelea kumwamini wakati wa dhiki. Vipindi vigumu katika maisha yetu hutokea kwa kila mmoja wetu. Kuamini ya kwamba Mungu ana makusudi ya lazima kukuondolea vikwazo katika maisha yako ni vigumu sana wakati mwingine, lakini imani ndicho kitu cha muhimu zaidi unachotakiwa kuwa nacho katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Amani ya Mungu, ambayo huzidi hekima na maarifa yote ya kibinadamu, ni kuliamini neno la Mungu kwamba ni la kweli. Bila imani hutaweza kumfurahisha Mungu. Imani ni ufunguo wa nguvu, uwezo na neema ambavyo Mungu ametupangia. Kwa ufupi, Mungu ni mkubwa kuliko wewe na matatizo yako.
Enock Maregesi

Related Topics

Dwell
Quotes
Reason
Quotes
Meekness
Quotes
Battles
Quotes
Deliberately
Quotes
Win
Quotes
Gut Wrenching
Quotes
Israelmore Ayivor
Quotes

Quotes.CX

  • About Us
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Terms
  • DMCA

Site Links

  • Authors
  • Topics
  • Quote Of The Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Authors in the News

  • Shannon L. Alder
  • Ernest Agyemang Yeboah
  • Michael Bassey Johnson
  • Craig D. Lounsbrough
  • Germany Kent
  • Criss Jami
  • Erik Pevernagie
  • Matshona Dhliwayo
  • Anthony Liccione
  • Munia Khan
Quotes.cx
  • Follow us on Facebook
  • Follow us on Instagram
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on Youtube
  • Follow us on X

@2024 Quotes.CX All rights reserved