Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Top 100 Quotes
Professions
Nationalities
Lord Quotes
Popular Topics
Love Quotes
Life Quotes
Inspirational Quotes
Philosophy Quotes
Humor Quotes
Wisdom Quotes
God Quotes
Truth Quotes
Happiness Quotes
Hope Quotes
Leaders are good messengers; they take the message from God and share it with others in the world. Jesus is a true example; He said “Here I am, send me Lord”!
Israelmore Ayivor
If you are not serving the Lord, start serving Him, so that you will be a partaker of His blessings
Sunday Adelaja
Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.
Enock Maregesi
Related Topics
Lives
Quotes
Give
Quotes
Positive Thinking
Quotes
Reality
Quotes
Blessings
Quotes
Prayers
Quotes
Psychology
Quotes
Words
Quotes