Quotes.cx
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Kifo Cha Yesu Quotes

    • Love Quotes
    • Life Quotes
    • Inspirational Quotes
    • Philosophy Quotes
    • Humor Quotes
    • Wisdom Quotes
    • God Quotes
    • Truth Quotes
    • Happiness Quotes
    • Hope Quotes
  • Follow us on Facebook
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on X
Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.
Enock Maregesi

Related Topics

Wimbo
Quotes
Eloi Eloi Lama Sabakthani
Quotes
It S Finished
Quotes
Imekwisha
Quotes
Faith
Quotes
Yesu
Quotes
Messiah
Quotes
Kristo
Quotes

Quotes.CX

  • About Us
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Terms
  • DMCA

Site Links

  • Authors
  • Topics
  • Quote Of The Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Authors in the News

  • Abhijit Naskar
  • Bryant McGill
  • Richelle E. Goodrich
  • Shannon L. Alder
  • Ernest Agyemang Yeboah
  • Michael Bassey Johnson
  • Craig D. Lounsbrough
  • Matshona Dhliwayo
  • Mandy Hale
  • M.F. Moonzajer
Quotes.cx
  • Follow us on Facebook
  • Follow us on Instagram
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on Youtube
  • Follow us on X

@2024 Quotes.CX All rights reserved