Quotes.cx
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Imani Quotes

    • Love Quotes
    • Life Quotes
    • Inspirational Quotes
    • Philosophy Quotes
    • Humor Quotes
    • Wisdom Quotes
    • God Quotes
    • Truth Quotes
    • Happiness Quotes
    • Hope Quotes
  • Follow us on Facebook
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on X
Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.
Enock Maregesi
Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.
Enock Maregesi

Related Topics

Christ
Quotes
Elects
Quotes
World
Quotes
Wanadamu
Quotes
God
Quotes
Amani
Quotes
Humanity
Quotes
Mungu
Quotes

Quotes.CX

  • About Us
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Terms
  • DMCA

Site Links

  • Authors
  • Topics
  • Quote Of The Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Authors in the News

  • Abhijit Naskar
  • Shannon L. Alder
  • Craig D. Lounsbrough
  • Germany Kent
  • Susan C.Young
  • Amit Kalantri
  • Vera Nazarian
  • Debasish Mridha
  • Mokokoma Mokhonoana
  • Israelmore Ayivor
Quotes.cx
  • Follow us on Facebook
  • Follow us on Instagram
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on Youtube
  • Follow us on X

@2024 Quotes.CX All rights reserved