Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Top 100 Quotes
Professions
Nationalities
Help Quotes
- Page 3
Popular Topics
Love Quotes
Life Quotes
Inspirational Quotes
Philosophy Quotes
Humor Quotes
Wisdom Quotes
God Quotes
Truth Quotes
Happiness Quotes
Hope Quotes
To help small business owners get the cash they deserve for their business needs.Call Me 4 Cash at 1-833-Me4-Cash Or Apply Today at 1833Me4Cash.com
Ken Poirot
Wewe kuingilia mambo ya John ni sawa na kusema, ‘Mungu umeshindwa hebu ngoja na mimi nijaribu; ngoja niingilie kati kukusaidia juu ya maisha ya John Doe.’ Hiyo ni dhambi. Tena ni dhambi kubwa. Unajifananisha na Mungu; kwamba Mungu wa John Doe ameshindwa kwa hiyo mungu wewe ndiye utakayemtatulia matatizo yake. Amri kuu ya kwanza ya Mungu inasema, ‘Usiwe na miungu mingine ila mimi.’ Kuingilia mambo ya John tayari umevunja amri ya kwanza ya Mungu kwa kujifanya Mungu. Mungu ana mpango na maisha ya John, na anatumia matatizo yake kumfikisha kwenye takdiri aliyompangia. Hivyo, wewe si Mungu, acha Mungu afanye kazi yake. Mungu akikuruhusu kuingilia kati, yaani John akiamua kwa hiari yake mwenyewe kukuomba msaada wa mawazo au ushauri, maana yake ni kwamba Mungu amekuchagua wewe kuwa sehemu ya mafanikio ya John Doe.
Enock Maregesi
Previous
1
2
3
Related Topics
Better
Quotes
Injustice
Quotes
Internet Marketing
Quotes
Petal
Quotes
Alcoholics Anonymous
Quotes
Bovary
Quotes
Damage
Quotes
Trial
Quotes