Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Home
Authors
Topics
Quote of the Day
Top 100 Quotes
Professions
Nationalities
Doctrine Quotes
Popular Topics
Love Quotes
Life Quotes
Inspirational Quotes
Philosophy Quotes
Humor Quotes
Wisdom Quotes
God Quotes
Truth Quotes
Happiness Quotes
Hope Quotes
The most frustrating thing about our doctrine in the modern church is that the unbelievers who have never been to church, the agnostics, those who are out rightly atheist, don’t have to fight with whether they are supposed to dominate the earth or not, they just go ahead and do it
Sunday Adelaja
Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.
Enock Maregesi
Related Topics
Kindness
Quotes
Standard
Quotes
It
Quotes
Compassion
Quotes
Adversity
Quotes
Love And Kindness
Quotes
Intelligent
Quotes
Mithali 25 21 22
Quotes