Quotes.cx
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Dhambi Quotes

    • Love Quotes
    • Life Quotes
    • Inspirational Quotes
    • Philosophy Quotes
    • Humor Quotes
    • Wisdom Quotes
    • God Quotes
    • Truth Quotes
    • Happiness Quotes
    • Hope Quotes
  • Follow us on Facebook
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on X
Wewe kuingilia mambo ya John ni sawa na kusema, ‘Mungu umeshindwa hebu ngoja na mimi nijaribu; ngoja niingilie kati kukusaidia juu ya maisha ya John Doe.’ Hiyo ni dhambi. Tena ni dhambi kubwa. Unajifananisha na Mungu; kwamba Mungu wa John Doe ameshindwa kwa hiyo mungu wewe ndiye utakayemtatulia matatizo yake. Amri kuu ya kwanza ya Mungu inasema, ‘Usiwe na miungu mingine ila mimi.’ Kuingilia mambo ya John tayari umevunja amri ya kwanza ya Mungu kwa kujifanya Mungu. Mungu ana mpango na maisha ya John, na anatumia matatizo yake kumfikisha kwenye takdiri aliyompangia. Hivyo, wewe si Mungu, acha Mungu afanye kazi yake. Mungu akikuruhusu kuingilia kati, yaani John akiamua kwa hiari yake mwenyewe kukuomba msaada wa mawazo au ushauri, maana yake ni kwamba Mungu amekuchagua wewe kuwa sehemu ya mafanikio ya John Doe.
Enock Maregesi

Related Topics

Help
Quotes
Mungu
Quotes
Plan
Quotes
Sin
Quotes
Mpango
Quotes
Maisha
Quotes
Life
Quotes
Msaada
Quotes

Quotes.CX

  • About Us
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Terms
  • DMCA

Site Links

  • Authors
  • Topics
  • Quote Of The Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Authors in the News

  • Abhijit Naskar
  • Shannon L. Alder
  • Michael Bassey Johnson
  • Rick Riordan
  • Craig D. Lounsbrough
  • Criss Jami
  • Erik Pevernagie
  • Christopher Hitchens
  • Munia Khan
  • Mehmet Murat ildan
Quotes.cx
  • Follow us on Facebook
  • Follow us on Instagram
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on Youtube
  • Follow us on X

@2024 Quotes.CX All rights reserved